AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa My experience rafiki zangu wengi sana ambao wameoa inakua rahisi sana kuopoa msichana bomba kama akimchana live yeye ni mume wa mtu ,hii imenisababishia hadi mimi(censored) niwe najitambulisha ni mume wa mtu hapo aaah...
Sasa nauwaulizeni wadada wa JF nini mnachovutiwa na wanaume wa watu?hamuoni kama ni hatari?kwanini usipenda cha kwako mwenyewe? Au wanamiliki nini ambacho singleboys hatuna hopeful we can learn from them and u
Nawasilisha
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
nini maana ya 'kwa my experience?' haina kiswahili chake?
ReplyDeletewanapenda pochi
ReplyDeleteKwa sababu mume wa mtu anajua kuenzi mwanamke
ReplyDeleteNi umalaya na tamaa za kidunia
ReplyDeleteNi umalaya na tamaa za kidunia
ReplyDeleteMichepuko sio dili - baki njia kuu - epuka ukimwi!!
ReplyDeleteHapa bado watu hawajaelewa sencer zote duniani kila nchi wanawake wengi kuliko wanaume nenda hospitali zote watoto wa kike wengi kuliko was kiume inamaana hakuna usawa wa jinsia ndio tatizo.
ReplyDelete