AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wiz Khalifa amezungumza haya baada ya Amber kusema kuwa Wiz alikuwa na wanawake wengine, Wiz amesema ni kweli Amber alinikuta na mwanamke ndani ya nyumba saa nane usiku ila tulisha achana kwahiyo sikuwa namsaliti. Wiz aliendelea kusema kuwa amehamia nyumba yake nyingine ila Amber alizidi kumfuatilia. Wiz Khalifa bado anaamini Nick Cannon anamahusiano na Amber Rose.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
wee ukutwe na mwanamke saa nane usiku halafu husema hajakufamania!! wanaume bwana mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu!!!
ReplyDelete