Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Wolper kupitia instagram ameandika, “nimekumbuka mbali kweli nilivyoiona hii picha, nakumbuka siku hizo mwenyewe ndo nakupeleka airport unaenda kuanza kusoma mpaka na mimi nilitamani kuwa mwanafunzi ili twende wote yaani naandika hii caption huku nasmile nikikumbuka hiyo siku ndo unaenda kusoma mwenyewe…am very happy for you mwanafunzi wangu! yani verrrrry happy…!
Ameongeza, “hongera sana siku hizi vijana wanafanya yote na shule ipooo ndo unazidi kuwa mnyamweezi, mimi mwenyewe hapa nataka nirudi shule ya kutafuta hela manake maisha magumu sana… Hongera sana kwa kuhitimu..!!nisaidieni kumtag mwanafunzi wangu,” amemaliza kwa kuandika.
LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com
Binti unakumbuka kujifunika shuka asubuhi wakati kumeisha pambazuka?Bongo movie wewe biashara ya maduka wewe halafu starehe za kujirusha na ulevi wewe na shule/masomo wewe ah binti kuwa mkweli bana japo wanasema elimu haina mwisho lakini kwa nipigo yako hiyo naona shule kwako haina nafasi kabisa yaani shule imechelewa kwako kubali matokeo
ReplyDelete