Siwezi Kumuacha Mwanangu Alie Peke yake - Kajala Masanja Afunguka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Muigizaji wa Filamu,  Kajala Masanja, amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu matokeo ya mtoto wake, Paula ya kidato cha nne.

Kajala amesema kuwa anashangazwa na inaumiza watu wanaacha kazi na kuanza kumrushia maneneo makali mwanae, amesemaa kuwa hata muacha mwanae aliye peke yake.

"Nashangazwa na inaumiza watu wanaacha kazi na kuanza kumrushia maneno makali mwanangu kwa lengo la kumkatisha tamaa, yaani kama ndio waliokuwa wakimlipia ada na huduma zingine. Watambue kuwa siwezi kumuacha mwanangu alie peke yake, nitakuwa naye kumtia moyo na kujipanga upya katika elemu yake na atasoma hadi chuo kikuu," Kajala ameiambia Mwanaspoti. Kajala.

Matokeo ya Mtoto wake huyo yalizua gumzo kwenye gumzo mtandaoni wiki moja iliyopita, ambapo mpaka sasa Msanii huyo hajaweka wazi matokeo ya mtoto wake huyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad