AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Duru za habari nchini humo zinaeleza kuwa, Bright amekuwa akipokea mshahara bila kufanya kazi kuanzia mwezi Juni mwaka jana.
Bright Chabota inaarifiwa kuwa hakuwahi kwenda kazini ila amekuwa akipokea mshahara kila mwisho wa mwezi.
Chabota amegundulika baada ya serikali kukosa rekodi za malipo ya kodi kutoka kwake, ikiwemo ada ya bima ya matibabu nchini humo.
Tayari wazazi wake wamehojiwa na wamesema kuwa mtoto wao aliwataarifu kuwa ameshapata ajira serikali na analipwa mshahara mnono.
Kwa mujibu wa mtandao wa Zambian Observer, kila Chabota alikuwa akijilipa Randi 7000 kwa mwezi ambayo sawa na Tsh Milioni 1.2 .
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK