Kesi ya Zitto Kabwe yapigwa Kalenda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kesi ya 'Uchochezi' (Kesi ya Jinai Na. 327 ya Mwaka 2018) inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini,  Zitto Kabwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imeahirishwa hadi tarehe 3, Disemba 2019.



Kesi hiyo imehairishwa baada ya shahidi wa upande wa Jamhuri kutokuwepo Mahakamani kwa udhuru wa kuumwa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad