AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kesi ya 'Uchochezi' (Kesi ya Jinai Na. 327 ya Mwaka 2018) inayomkabili Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imeahirishwa hadi tarehe 3, Disemba 2019.
Kesi hiyo imehairishwa baada ya shahidi wa upande wa Jamhuri kutokuwepo Mahakamani kwa udhuru wa kuumwa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK