Je, Ntakuwa Nimemuharibu Mtoto? Nimefanya Mapenzi na Mwanaume Ambaye si Baba wa Mtoto...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mimi nina mtoto wa miezi 10 sasa, niliachana na aliyenipa ujauzito nikiwa na mimba ya miezi 2 mwaka jana mwezi wa 2, na tangu mwaka jana nilikua sijakutana kimwili na mwanaume yoyote yaani nimekaa mwaka 1 na miez 5.

Miezi mitatu iliyopita nilikutana na kaka mmoja akawa anataka kunioa, but juzi nikashiriki nae tendo kibinadamu, na mimi na hisia kweli.Nilisex nae mara 1 tu na nilienda kuoga kabla sijamnyonyesha mtoto.

Naomba kuuliza inaweza kumdhuru mtoto?

Je, nifanyeje?

Msinielewe vibaya ndugu yangu baba mtoto yuko mbali na ana mwanamke mwingine .

Hana muda na mimi kabisa, mimi ni binadamu hisia zilinizidi tu nikawa nimefanya hivyo.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

15 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. kwavile ulikoga hadhuriki

    ReplyDelete
  2. hawezi kudhurika ila tu uwe na mmoja,kwani ukichanganya wanaume tofauti sio vizur na hautamtendea haki mwanao.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mtoto atanyonya uchafu may be atumie kondomu na aoge jasho

      Delete
  3. pole sana na hongera kupata mwingine

    ReplyDelete
  4. phocus,,,,,,,usinge1 August 2015 at 18:42

    hawezi kuzulika

    ReplyDelete
  5. Ukimaliza kuoga ukamue maziwa kwanza ndio umnyonyeshe mwanao hata kama ungelala na baba mtoto unatakiwa ufanye hivyo.

    ReplyDelete
  6. Kama hukutumia kinga unaweza ukawa umempa mtoto magonjwa hasa ukimwi

    ReplyDelete
  7. Ungeulika kwanza kabla ya kufanya, saa hizi unaleta style ya kufunga mkokoteni mbele farasi nyuma

    ReplyDelete
  8. Anonymous august 2, 2015 at 9.08pm. Una akili sana what a nice answer. Nimeipenda

    ReplyDelete
  9. Anonymous august 2, 2015 at 9.08pm. Una akili sana what a nice answer. Nimeipenda

    ReplyDelete
  10. Jaribu tigo tuuuu, huwezi pata tatizo wala mtoto hatadhurika

    ReplyDelete

Top Post Ad