Wajumbe hamkuniangusha, Watu wamenidhamini Mil 1.1 ni matunda ya kazi zenu- JPM

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


 "Nawapongeza Wagombea waliojitokeza, walikuwa wengi  kwakuwa CCM wanaipenda, Wana-CCM 10,367 walichukua fomu katika nafasi za Ubunge wa Jimbo na Viti Maalum, waliowania nafasi za Ubunge kwenye Baraza la Uwakilishi ni 786, waliowania Udiwani wa Kata na Viti  Maalum ni 33,094” -JPM
“Nawashukuru Wajumbe wa NEC kwa jinsi mlivyonipigia kura nyingi,mlikuwa Wajumbe hamkuniangusha Wajumbe,mlipoenda kwenye maeneo yenu mlishikiri kunitafutia Wadhamini na wakanidhamini zaidi ya Watu Mil 1.1 ni matunda ya kazi zenu Wajumbe”-JPM akifungua kikao NEC
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad