AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, amevionya vyama vinavyofanya siasa zenye viashiria vya kuvuruga amani na kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama kudhibiti jambo hilo bila kujali ni chama kipi kimefanya ili harakati za uchaguzi zisisababishe baadhi ya Watanzania kupoteza maisha.
Simbachawene ameyabainisha hayo akiwa mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi, na kusema wanasiasa wasitumie wananchi kujitafutia umaarufu wa kisiasa na kuwa wana jukumu la kuhakikisha kila hatua wanayoifanya haileti madhara kwa wananchi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK