AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirikisho la soka la Misri (EFA) limetangaza kuwa mshambuliaji wao Mo Salah amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona.
Hii habari mbaya kwa timu ya Liverpool ambayo wachazeji wake muhimu ni majeruhi Joe Gomez, Fabinho, Virgil van Dijk, Thiago Alcantara na beki Trent Alexander-Arnold .
kwa wa mwendo huu Kocha Jürgen Klopp anakuwa kwenye wakati mgumu kuutetea ubingwa wa ligi kuu Uingereza kwa sababu ya majeruhi ya muda mrefu ya wachazajiwake ambayo wameyapata msimu huu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK