DPP: Wanaoidai Qnet, Hakuna Kurejeshewa Fedha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amesema ni kosa kuwarejeshea fedha watu waliojiunga na kampuni ya Qnet kisha kudai wametapeliwa.

“Ni kosa kisheria kuwarejeshea fedha watu waliojiunga na Kampuni ya Qnet kisha kudai wametapeliwa kwakuwa kufanya hivyo ni kosa,” ameeleza.

Amefafanua hayo zikiwa zimepita siku mbili baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Geita kurejesha shilingi milioni 5.48 kwa mwalimu Rose Mgomba wa Shule ya Msingi Lukaranga aliyedai kutapeliwa na kampuni hiyo.

Mganga amesema urejeshwaji wa fedha hizo ni kosa kwa mujibu wa sheria kwa kuwa biashara iliyokuwa inafanywa na kampuni hiyo ni ya upatu ambapo ipo katika kundi la biashara haramu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. So whats next.? TCRA..!! BOT..Usalama
    au mchakachuaji alie kimbillia Kanada
    anahusika na mtandao halamu.

    Tunahitaji majibu na kompyuta baadhi ziko kituoni Arusha.

    ReplyDelete

Top Post Ad