Christina Mndeme ateuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM- Bara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao chake maalumu kilichoketi leo baada ya Mkutano Mkuu wa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Samia Suluhu imeridhia mapendekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti (Rais Samia) katika Sekretarieti Kuu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ndiye Naibu Katibu Mkuu wa CCM- Bara.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad