AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM katika kikao chake maalumu kilichoketi leo baada ya Mkutano Mkuu wa Chama hicho chini ya Mwenyekiti Samia Suluhu imeridhia mapendekezo yaliyotolewa na Mwenyekiti (Rais Samia) katika Sekretarieti Kuu kuwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ndiye Naibu Katibu Mkuu wa CCM- Bara.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK