Gwiji wa soka, Pele afanyiwa upasuaji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mfalme wa soka duniani, Pele amefanyiwa upasuaji ili kuondoa uvimbe kwenye koloni yake.

Pele, pictured in Paris in 2019, has vowed to face this challenge with a smile on his face. 

Pele mwenye umri wa miaka 80, alikuwa amelazwa hospitalini kwa siku sita, siku ya Jumatatu aliandika kwenye mitandao yake ya kijamii akisema alifanyiwa upasuaji ili kuondoa ” Uvimbe unaoshukiwa kuwa kidonda,” Jumamosi iliyopita.

“Kwa bahati nzuri, nimezoea kusherehekea ushindi mkubwa pamoja nanyi,” alisema mshindi huyo mara tatu wa Kombe la Dunia.

Siku tano zilizopita, Mbrazil alikanusha ripoti kwamba alikuwa amezimia. Afya yake imekuwa ya wasiwasi katika miaka ya hivi karibuni.

Kulingana Guinness Book of World Records, alifunga mabao 1,279 yaliyoripotiwa katika mechi 1,363, pamoja na mabao 77 katika mechi 91 za kimataifa akiwa na Brazil.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad