Mjane achomewa nyumba kisa mahusiano ya mwanaye

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mjane aliyechomewa nyumba yake
Kijana anayejulikana kwa jina la Kidaone ameimwagia petroli na kisha kuichoma moto nyumba ya Mama mzazi wa mpenzi wake iliyopo Mikanjuni Jijini Tanga usiku wa kuamkia Septemba 21, 2021, kwa kile kilichodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Tukio hilo limetokea majira ya saa 8:00 usiku, ambapo wapangaji wameiomba serikali iwasaidie kupata haki zao za mali zao ambazo zimeteketea zote na moto lakini pia isimamie sheria ipasavyo ili kumnusuru mjane huyo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad