AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni headlines kutoka kwa mpiga picha maarufu wa mwanamuziki @diamondplatnumz @lukambaofficial ambae amefuta utambulisho uliokuwa ukimtambulisha kama mpiga picha rasmi (official photographer) wa msanii Diamond platinumz katika ukurasa wake wa Instagram.
Kwa sasa ukipitia ukurasa wake wa Instagram @lukambaofficial amejitambulisha kama mwongozaji wa filamu (film director) jambo ambalo limeacha maswali kwa baadhi ya mashabiki.
Hata hivyo Katika kipindi cha hivi karibuni kumekua na taarifa za mpiga picha huyo kufutia kazi na mwanamuziki #diamondplatnumz kabla ya kuonekana tena kwa pamoja katika ziara ya kimuziki ya msanii huyo nchini marekani.
✍🏾@keviiiy.iam
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK