Familia ya Ricketts Imesitisha Ofa Yao ya Kuinunua Klabu ya Chelsea

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





TAARIFA iliyotolewa na Kampuni ya uwekezaji ya Ricketts imedai kuwa wameamua kujitoa kutokana na mambo kadhaa kutoelezewa vizuri juu ya mustakabali wa uwekezaji wao ndani ya klabu ya Chelsea.

 

Wawekezaji hao wamekuwa wakipingwa vikali na mashabiki wa Chelsea kutokana na kuwa na tuhuma za ubaguzi.

 

Kabla ya kujiondoa katika mbio za kuinunua klabu hiyo yenye maskani yake jijini London familia ya Ricketts iliungana na muwekezaji mwenza Ken Griffin ili kufanikisha ununuzi wa klabu hiyo.



Japo wachambuzi wa masuala ya michezo wanasema changamoto yta kujitoa kwa familia ya Ricketts ni kutokana na kutokuwepo makubaliano ya mgawanyo wa hisa baina yao.

 

Katika taarifa yao wameelezea mapenzi yao kwa klabu na kumtakia kila lakheri muwekezaji mpya atakayeichukua klabu ya Chelsea
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad