Juventus Yapokonywa Alama 15 Kwenye Ligi ya Serie A

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa

Juventus imepokonywa alama 15 kwenye Ligi ya Serie A na Mahakama ya michezo Nchini Italia kufuatia uchunguzi kuhusu michakato ya uhamisho wa wachezaji wa klabu hiyo pamoja na madai ya utumiaji wa mapato yasiyo ya kweli.

Juve itaporomoka kutoka nafasi ya tatu mpaka nafasi ya 11. https://t.co/8B5adGJZrB
_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad