Ali Kiba Afunguka "Kilimo cha WHATSAPP ni Shinda Ingine"

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Ali Kiba Afunguka "Kilimo cha WHATSAPP ni Shinda Ingine"


Nyota wa muziki hapa nchini @officialalikiba ameendelea kuonyesha dhamira yake ya kuwaelezea wadau mbalimbali faida na changamoto za kilimo.


Kupitia mtandao wake wa Twitter Alikiba amewataka watu kuachana na kilimo cha mitandao (Whatsapp) na badala yake kuhakikisha wanafika mashambani ili kujionea hali halisi.


“Nilileta staili za ufanyaji wa muziki kwenye kilimo mwanzoni, niliisoma namba.

Kilimo cha ‘Whatsapp’ ni shida”


Hivi karibuni nyota huyo wa muziki aliweka wazi kuwa kwa muda sasa amekuwa akijihusisha na shughuli za kilimo na akaahidi kutoa somo kuhusu vitu alivyojifunza kwenye kilimo.

_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad