Kiungo mshambuliaji wa Yanga STEPHANIE AZIZI KI ameigomea timu hiyo Kuongeza mkataba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kiungo mshambuliaji wa Yanga STEPHANIE AZIZI KI ameigomea timu hiyo Kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo ya pale Jangwani ikumbukwe Mchezaji huyo alisajiliwa na Yanga tarehe 24/08/2022 akitokea Asec Mimosa ya nchini Ivory Coast ambapo alimaliza msimu akiwa na timu hiyo kama mchezaji bora wa msimu wa ligi kuu nchini humo mara baada ya kutua yanga alisaini kandarasi ya miaka 2 kuitumikia timu hiyo kwa mshahara wa milioni 27 kwa mwezi na ada ya uhamisho wa dola laki mbili na nusu.

Baada ya kuwa na msimu mzuri kwa kumaliza na mabao 10 na assist 7 msimu uliopita kisha kuanza vyema msimu huu mpaka sasa ana goli 6 na assist 7 uongozi wa Yanga ulianza mazungumzo tangu Jana ya kumboreshea maslahi na kutaka kumuongezea mkataba tena wa miaka miwili ili asalie jangwani hapo hadi 2026 mchezaji huyo amegoma kuhusu jambo hilo la kuongeza mkataba jambo ambalo limewafanya viongozi wa Yanga kukuna kichwa na kuwapa wasi wasi na hofu kubwa na kisha kujiuliza je anataka kwenda timu gani mchezaji huyo kama ikisalia hivyo inamaana Ataondoka Yanga mwakani akiwa kama mchezaji huru na yanga haitopata faida yoyote ile.

MZEE WA #ZACUBA DOCTOR MOHAMEDI HAMISI Nimepenyezewa habari za uhakika na chanzo cha karibu sanaa cha mchezaji huyo kikisema kuwa mchezaji huyo atabaki kucheza Tanzania 🇹🇿 msimu ujao lakini sio kwenye timu ya Yanga swali je unahisi Azizi ki atatimkia wapi kama hataki kubakia Yanga ila atabakia Tanzania 🇹🇿 akitumikia klabu nyingine?
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Simba wanangara na wamependeza kweli na nawatakia ushindi wa kishindo

    ReplyDelete

Top Post Ad