AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu wanane wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la kampuni ya Lujiga Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kuligonga lori kwa nyuma lililokuwa limeengeshwa barabarani baada ya kuharibika katika Kijiiji cha Mseko kilichopo katika Kitongoji cha Malendi Kata ya Mgongo na Tarafa ya Shelui mkoani Singida.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK