Watu Nane Wafariki Ajali ya Basi na Lori Singida

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Watu Nane Wafariki Ajali ya Basi na Lori Singida

Watu wanane wanahofiwa kufariki dunia baada ya basi la kampuni ya Lujiga Express lililokuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Mwanza kuligonga lori kwa nyuma lililokuwa limeengeshwa barabarani baada ya kuharibika katika Kijiiji cha Mseko kilichopo katika Kitongoji cha Malendi Kata ya Mgongo na Tarafa ya Shelui mkoani Singida.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad