Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba, Imani Kajula amekutana na Kocha wa timu ya Vijana wa chini ya miaka 17, John Bocco.
Simba SC imemkabidhi Bocco jukumu la kukinoa kikosi cha vijana wa chini ya miaka 17 ambacho kimeonyesha mafanikio makubwa msimu huu.
Kajula alisema “tunatambua mchango mkubwa wa John Bocco ndani ya Simba kama nahodha wetu na sasa kocha kwenye timu zetu za vijana. Tunalenga mbali na kutumia wachezaji wetu wenye uzoefu na waliotumikia klabu yetu kwa mafanikio ni moja ya lengo letu katika kujenga timu imara za vijana.”
-------------------------------
Alikataa kuolewa ili amkomboe mama yake... Lakini mama ndiye aliyemuuza!
GORYANAH –Hii ni story ya Moto Sana yenye hisia na Mafunzo, binti jasiri anayepambana na siri nzito, umaskini na hatari kubwa kwa ndoto zake! Pakua app yetu ufurahie Sehemu ya 1 Hadi ya 5,na mwendelezo wake kila JUMAMOSI SAA MOJA KAMILI JIONI BURE!
Ukiona ujumbe wa allow notification bonyeza allow ili uwe mwanafamilia.
Nafasi za Ajira Bonyeza Hapa