Picha: Bilionea Namba Moja Africa Dangote Akagua Ufukwe Atakao Jenga Bandari yake ya Kisasa Mtwara

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Biionea Alhaji Aliko Dangote amekabidhiwa hekari 2,500, katika halmashauri ya Wilaya ya Mtwara ili ajenge bandari itakayotumika kusafirisha saruji kutoka kiwandani hapo kwenda maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi.



Mfanyabiashara maarufu Afrika, ambaye ni Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Viwanda vya Dangote Group of Industries, Alhaji Aliko Dabgote akinyoosha mkono kuangalia eneo la ufukwe wa Bahari ya Hindi katika Kijiji cha Mgao, Kata ya Maumbu, Tarafa ya Mayanga, Mtwara Vijijini, ambapo atajenga bandari yake ya kisasa kwa ajili kusafirisha saruji itakayozalishwa kwenye kiwanda chake kikubwa kinachojengwa katika Kijiji cha Msijute.
Alhaji Dangote akishuka kwenye ndege na kulakiwa na Mwakilishi Mkazi wake hapa nchini, Esther Baruti

Mwenyekiti wa Kijiji cha Mgao, Shaa (kushoto) akimuonesha Dangote eneo la uwanja aliopewa na wanakijiji kwa ajili ya ujenzi wa mkazi yake. Kijiji nacho kitanufaika na Dangote ambaye atawajengea shule, hospitali pamoja na miradi mingine ya maendeleo


Msafara wa Dangote ukitumia magari kutembelea kiwanda cha saruji kinachojengwa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Huyu ndio muwekezaji wa kweli

    ReplyDelete
  2. HII NI KOMESHA NA KALI ZAIDI, NCHI NDANI YA NCHI- "BiLionea Alhaji Aliko Dangote amekabidhiwa hekari 2,500, katika halmashauri ya Wilaya ya Mtwara ili ajenge bandari itakayotumika kusafirisha saruji kutoka kiwandani hapo kwenda maeneo mbalimbali ya ndani na nje ya nchi"

    ReplyDelete
  3. Waswahili walisema HABA NA HABA HUJAZA KIBABA"iuzeni tu nchi ya bongo tuje tutawaliwe tena kama b4 za enzi zilie za waingereza na wajerumani UKOLONI MAMBO LEO"mnaiuza nchi hata hampigi picha ya kuwa in future coming years itakuwaje na mtanzania atakuwa katika hali gani?Kuuza nchi kutamsaidia mtanzania au?Kweli you've to live and learn

    ReplyDelete
    Replies
    1. Najua angepewa mzungu ungeridhia ila mwafrika hutaki,hovyo!

      Delete
  4. hiyo ni sawa na sahihi kabisa kwa sababu nchi yenyewe iliisahau mtwara......na kingine sioni ubaya kuwapa waafrika wenzetu ardhi kwani tunapoelekea tunataka baadae afrika yetu iwe moja so hivyo ni moja ya vitu vinavyoimarisha ushirikiano kati yetu na si kuwapa wazungu ambao lengo langu ni kutunyonya tu........bt lakini mi nadhani hata madini tungempa huyu jamaa na si wazungu

    ReplyDelete
  5. Hehehehehhehehe hiyo kali.... haya bwana watu na pesa zao....

    ReplyDelete
  6. Kweli kabisa apewe na madini

    ReplyDelete

Top Post Ad