Please Help - Siwezi Pitisha Siku Bila kutembea na Malaya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mimi ni Kijana wa Miaka 27 , Nimemaliza chuo Mwaka Jana ...Now nafanya kazi katika shirika moja kubwa hapa Dar es salaam , Wakati nilipokuwa  chuo mimi na wenzangu tulikuwa na mchezo wa kwenda pale Corner Bar Kuchukua wasichana wanao Jiuza wa bei ndogo na kujiridhisha...Mchezo huu umeendelea mpaka nimemaliza chuo na nina kazi yangu ..Huwa nasikia raha sana kulala na hao watu...Nina Girlfriend wangu ila huwa nikilala nae sisikii  raha kama nikiwa na changudoa....Sasa jioni mara nyingi huwa natoka na kwenda mitaa ya Sinza kutafuta wa kuwa nae kwani kupitisha siku bila hiyo kitu siwezi...Nataka niiache hii Tabia Naomba Ushauri nifanyaje....Admin Plse Post hii Ili watu wanipe Ushauri....

READ MORE:

Hii Hapa Sababu Kubwa Inayowafanya Wanawake Kupiga Kelele Wakati wa Tendo la Ndoa

Madhara ya kufanya Mapenzi kinyume na Maumbile

Kutana na Binti Anayekunywa Mkojo Kila Siku ili Kutunza Ngozi yake

Huddah Monroe "Sijafanya Mapenzi Kwa Siku 60"


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

13 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tabia ngozi ya mwili kuibadili haiwezekani ila punguza 2 km ulikuwa kila siku unaenda fanya katika wiki una enda mala mbili hivyo ivyo mwisho utachoka utachana nao ila kumbuka kutumia kinga

    ReplyDelete
    Replies
    1. Akizingatia hayo mwisho ataacha kabisa

      Delete
  2. Hivi ushapima?

    ReplyDelete
  3. Tafuta mke uoe,hayo sio maisha

    ReplyDelete
  4. Hebu jaribu kuwafananisha na Mbwa au wagonjwa wa ukimwi, utaona tu taratibu unaanza kuwachukia

    ReplyDelete
  5. Hiyo imani ni mbaya amin kwamba unaweza kuacha na epuka mazingira yao

    ReplyDelete
  6. Jtahid utaacha 2 jarbu kuwa biz maana unapokosa cha kufanya unawaza uchafu pia angalia marafk zako ulonao

    ReplyDelete
  7. punguza mazoea ya kuwaza xana kuhusu hao MALAYA n uji keep bize mpaka kukosa muda na hatimaye utaxahau hyo hali mara moja.

    ReplyDelete
  8. pole ndugu ila nakuomba uache hiyo tabia n mbaya na co maisha hayoo

    ReplyDelete
  9. kwani ulianzaje kuwatafta hao makahaba na kuwa unalala nao,mie naona tu uendelee mwisho wa siku ufe na dhambi nyingi ili uingie kwenye moto wa milele,unaona sifa kuandika ujinga wako hapa si bora ufe hata leo kuliko kuiangamiza jamii make nahisi we siyo mzima kiafya

    ReplyDelete
  10. Heri ujilazimishe kwani hakuna kazi rahisi,kwani elewa pepo ya Mungu haipatikani kiurahisi mpaka ujipinde na mola atakulinda Ahsante

    ReplyDelete
  11. piga puli sana utaacha

    ReplyDelete
  12. Hii tabia ni ngumu sana kuiacha pindi ukishaizoea na in hatari zake ikiwemo virusi, kuibiwa hela na mengineyo. binafsi nilikuwa kama wewe na nilikuwa nachukua wale wa Ohio na Jolies lakini nilifanikiwa kuacha. kama nilivosema si kazi rahisi lazima uweke nia ya dhati sana, fanya maombi, fanya meditation au self hypnosis na pia mfundishe mpenzi wako aina ya mapenzi uyatakayo polepole atazoea hata mi wakati nafanya hivo nilikuwa na demu pia.mfundishe jinsi ya kufanya fantasies ili awe kama hao mkiwa wawili chumbani then ukiwa na nia ya dhati utaacha. Halafu usipende sana kuangalia porno. Been there done that so take it from me u will be ok.

    ReplyDelete

Top Post Ad