Kwanini Sheria Ngowi Kumvalisha Diamond Why Not Martin Kadinda?

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Bonyeza Hapa
Diamond At BET, Dressed by Sheria Ngowi
Kama Kumbu kumbu zangu zipo Vizuri nakumbuka Mtu wa Kwanza kabisa kumvisha Diamond na kuanza kupendeza alikuwa Martini Kadinda na zile suti zake za Single Buttons, Lakini Siku zinavyokwenda naona huyu Kardinda simsikii Tena kwenye Nguo kiivyo

Kwa nilivyotegemea kwa ukaribu aliyonao kwa Diamond kwa sasa Yeye ndio Angechukua Hiyo Fursa ya Kumtengenezea Nguo Mbongo Flava Huyo Hasa Kwenye Hizo Awards za MTV na BET lakini Katika Hizo Awards zote Mbili Amevalishwa na Sheria Ngowi ....Sikatai Sheria ni Mzuri Sana ila Najiuliza tu Kwa Huyu kaka naona Kama Umeneja Kwa Wema Umemuondolea Ndoto za Kuwa Designer Mkubwa..



_________

LOVE STORY YA UTANIKUMBUKA NEYLA Ipo tayari ni maandishi na Sauti !, Kuisoma yote Bonyeza HAPA Lipia tsh 1000 Tu mtandao wowote,au Tembelea www.makapedia.com

Post a Comment

11 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Napita tu!bt dai kapendeza xana!

    ReplyDelete
  2. sasa unatuambia au unauliza?

    ReplyDelete
  3. Kaogopa design za Punga

    ReplyDelete
  4. hahahaaaa jamani tuvae mavaz kwendana na miili yetu yani kawa kama kavaa koti la urithi teh teh teh ndio kituko gani kavaa watu mnajisemea tuu dai kapendeza na huo mchanyato wa blue sijui yan kachekeshaje???

    ReplyDelete
  5. Wapenzi wa Damond hata avae Daipa si tuna msifia tu na swaga zake

    ReplyDelete
    Replies
    1. ila alivyovaa sikupenda, sijui suti hazimtoi avae kishalobalo ndo anapendeza kwani lazima suti hakuwaona kina nelly mbona wametoka tu

      Delete
  6. poa hakuna tatizo

    ReplyDelete
  7. katoka poa, mimi binafsi siyo mpenzi kivile wa huyu jamaa, lakini sifia palipo na ukweli

    ReplyDelete
  8. suit alizoshonewa na kandinda ndo nzuri hiz za sheria ngowi siyo kabisa kawa km ndege bwanaaa

    ReplyDelete
  9. SHERIA NGOWI MZURI KULIKO HUYO KADINDA NDO MAANA

    ReplyDelete
  10. uchonganishi tu huna lolote ht akidizainiwa na kuku inakuhusu nn ww unataka kl cku avae fleva moja !?? huna habar bweha wakubwa nyie kanjanja tu

    ReplyDelete

Top Post Ad